Monday, 26 March 2018

Morogoro: Jeshi la polisi limemkamata Mabula Mabula

Polisi Mkoa wa Morogoro wamemkamata Mabula Mabula 'Six' mkazi wa mjini humo kwa tuhuma za wizi, ubakaji na kuwapiga picha za utupu wanawake kisha kuzisambaza mitandaoni. Mtuhumiwa huyo amekiri makosa hayo na kumtaja Ramadhani Salumu kuwa hununua simu zake anazoiba.

No comments:

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian...

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian... : DAR: Mwandishi wa Gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa en...