Tuesday, 27 March 2018

Breaking news: Viongozi wa Chadema waliohudhuria kituo kikuu cha polisi wawekwa mahabusu

CHADEMA: Viongozi Wakuu wa Chama pamoja na Wabunge waliokuwa wameripoti Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar wakitimiza masharti ya dhamana yao, wamewekwa mahabusu. Polisi hawajaeleza sababu ya kufanya hivyo. Mawakili wanashughulikia.

No comments:

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian...

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian... : DAR: Mwandishi wa Gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa en...