Sunday, 25 March 2018

Mazungumzo kati ya Rais wa Rwanda na Uganda

Rais Kagame wa Rwanda na Rais Museveni wa Uganda wamekutana leo na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu ya Entebbe. Viongozi hao wakubaliana kuyafanyia kazi masuala yanayosababisha mgogoro baina ya nchi zao.
Uganda imekuwa ikiwakamata baadhi ya Wanyarwanda ikisema kuwa ni Majasusi
 

1 comment:

Anonymous said...

Nice work

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian...

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian... : DAR: Mwandishi wa Gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa en...