Sunday, 25 March 2018

Ajari Mkuranga

Watu 24 wamekufa na wengine 10 wamejeruhiwa baada ya Hiace kugongana na lori katika Kijiji cha Mparanga wilayani Mkuranga. Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata amethibitisha

Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Jumapili Machi 25, 2018 eneo la Mparanga wilayani Mkuranga.

Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kwamba majeruhi wote wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.

----
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi. Avitaka vyombo vinavyoshughulikia usalama barabarani kuchunguza chanzo cha ajali na kuchukua hatua kali.

DZIbXNVWkAAzenh.jpg

No comments:

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian...

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian... : DAR: Mwandishi wa Gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa en...