Thursday, 29 March 2018

BREAKING: Mahakama ya Kisutu imeridhia kutoa dhamana kwa viongozi 6 wa CHADEMA kwa masharti ya kusaini bondi ya 20miln kila mmoja. Wadhamini wao wanatakiwa kuwa na vitambulisho vinavyotambulika kisheria. Watuhumiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar kila siku ya Alhamisi.

No comments:

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian...

Habarika: Breaking News! Mwandishi wa gazeti la The Guardian... : DAR: Mwandishi wa Gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa en...