BREAKING: Mahakama ya Kisutu imeridhia kutoa dhamana kwa viongozi 6 wa CHADEMA kwa masharti ya kusaini bondi ya 20miln kila mmoja. Wadhamini wao wanatakiwa kuwa na vitambulisho vinavyotambulika kisheria. Watuhumiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar kila siku ya Alhamisi.
No comments:
Post a Comment